Utaniuliza Ni Kwa Nini (Niko Palepale) Lyrics sung by
Kurasini SDA Choir
1. Utaniuliza ni kwa nini naimba,
Kila siku mi’ ninapaza sauti
--Naimba-----Naimba----- (2nd Voice)
Natikiswa nabaki palepale
--Naimba-----Naimba----- (2nd Voice)
Nitaimba bila kuchoka,
Malaika wanaposhuka kuimba
Moyo wangu unajawa furaha,
Kwenye shida mi’ naimba =1-?
--Naimba-----Naimba----- (2nd Voice)
Moyoni ninafarijika.
Refrain
Mimi niko palepale; Niko palepale,
Niko palepale; Mimi niko palepale
Nasimama palepale; Namwimbia Bwana
Pepo zivume, Niko mwambani,
Mwamba wa Yesu, Niko salama
Mimi niko palepale; Niko palepale
Navuka milima; Ninapita mabondeni
Katika shida na raha; Niko palepale
Hata mwisho, mwisho wa dahari,
Na Bwana wangu.
2. Moyo wangu unapopata majeraha,
Ninaimba mi’ naimba kidogo
--Naimba-----Naimba----- (2nd Voice)
Natikiswa nabaki palepale
--Naimba-----Naimba----- (2nd Voice)
Namwimbia Mwokozi wangu
Ninaimba na Yesu yu ndani yangu,
Amenipa amani na furaha
Amekuwa nguzo na kimbilio,
--Naimba-----Naimba----- (2nd Voice
Amenipa wimbo mpya.
For Revision: Kwenye shida mi’ naimba =1-? Na imani, or
amani, or -?
Kurasini SDA Choir.
Kurasini SDA Choir, Kurasini Classics, Kurasini Vol 30, For Revision, Bedi Score, Bedi Lyrics