Tuesday, 2 June 2026

Makaoni Mbinguni (Njia Iliyo Njema) Lyrics sung by Kurasini SDA Choir

Makaoni Mbinguni (Njia Iliyo Njema) Lyrics sung by Kurasini SDA Choir


1. Makaoni Mbinguni,

Tutakaposujudu mbele zake Mungu 

Tutaikumbuka, Njia iliyo njema,

Waliopitia zamani, Wazee wa imani (Imani).


2. Siku yenye mibaraka tele,

Ilibarikiwa na Mungu hapo mwanzo

Ilibarikiwa naye Mungu, Njia iliyo njema,

Waliopitia zamani, Wazee wa imani (Imani).


3. Siku ya saba, ilitakaswa

Ndio ishara, Kati ya Mungu na wamchao

Ilibarikiwa na Mungu hapo mwanzo.


4. Mbinguni

---(Mbinguni pa Mungu juu)

Tutaikumbuka

Ilibarikiwa hapo mwanzoni.


4b. Mbinguni

---(Mbinguni pa Mungu juu)

Tutaikumbuka

Ilibarikiwa hapo mwanzoni.


5. Siku yenye matumaini,

Kwa watu wake Mungu

Njia iliyo njema, Waliopitia zamani,

Waliomwamini, Walitetea imani hata kufa

Ilibarikiwa na Mungu hapo mwanzo.


6. Kwa watu wake Mungu

Njia iliyo njema, Waliopitia zamani,

Waliomwamini, Walitetea imani hata kufa

Ilibarikiwa na Mungu hapo mwanzo.


7. Tukifika Mbinguni, Mbele zake Mungu

Nyuso zenye furaha, Pamoja na Yesu.


Tukifika Mbinguni, Mbele zake Mungu

Nyuso zenye furaha, Pamoja na Yesu.


Njia iliyo njema,

Waliopitia zamani, Wazee wa Imani.


8. Tukifika Mbinguni, Mbele zake Mungu

Nyuso zenye furaha, Pamoja na Yesu.


Tukifika Mbinguni, Mbele zake Mungu

Nyuso zenye furaha, Pamoja na Yesu.


Njia iliyo njema,

Waliopitia zamani, Wazee wa Imani.


Kurasini SDA Choir.


Kurasini SDA Choir Vol 26, Kurasini Classics, Bedi Score, Bedi Lyrics

Ndoa Ilibarikiwa Lyrics sung by Diana Gesare

Ndoa Ilibarikiwa Lyrics sung by Diana Gesare 1. Ndoa ilibarikiwa na Mungu , Ilianza pale Edeni Kwani Mungu aliona, si vyema Adamu , Awe pek...