Itakuwa Siku Ya Ajabu (Tuonane Ng'ambo Ile) Lyrics sung by Kurasini SDA Choir
1. Itakuwa siku ya ajabu,
Baada ya kusafiri sana
Pale ng'ambo ya mto Yordani,
Tutaonana kwa furaha.
Refrain
Ni furaha tele siku hiyo,
Jeshi la Mbingu likitulaki (Tulaki)
Kisa cha Wokovu twasimulia (Simulia),
Kwenye Bahari ya kioo (Kioo)
Yeye bado atatufuta machozi,
Hatutazikumbuka tena (Kumbuka)
Tukiwa ni washindi, Kutawala na Yesu
Tuonane ng'ambo ile ndugu (Tuonane).
2. Sasa siwezi sema hakika,
Ninajua siku i karibu
Ninao wito kwako kwa hakika,
Ujiunge tuonane mbinguni.
NOTES
If We Never Meet Again/I Will Meet You On That Beautiful Shore is a gospel made popular by Elvis Presley here sung by Kurasini SDA Choir, a Swahili rendition, "Itakuwa Siku Ya Ajabu (Tuonane Ng'ambo Ile)"
Writer & Composer: Albert E. Brumley
Kurasini SDA Choir.
Kurasini SDA Choir Vol 26, Swahili Hymns, Bedi Score, Bedi Lyrics