Nani Wa Kulinganishwa Lyrics sung by Kurasini SDA Choir
Prelude
Nani wa kulinganishwa na Yesu?
Ni wa kwanza
1.Muda mwingi nilikaa, Nikiwa gerezani
Nikamkosa mdhamini, Wakunifungulia.
Refrain
Sauti zilisikika, Nani wakunifungulia?
Ni Yesu mwenye huruma, Kaingia gharama.
2. Katika gereza langu, sikupata nafasi
Langoni alisimama wakuniangamiza.
Kurasini SDA Choir.
Kurasini SDA Choir Vol 26, Kurasini Classics, Bedi Score, Bedi Lyrics