Tuesday, 2 June 2026

Nimesikia Wito (Naja Kwako) Lyrics sung by Kurasini SDA Choir

Nimesikia Wito (Naja Kwako) Lyrics sung by Kurasini SDA Choir


1. Nimesikia wito wako Bwana,

Ukiniita mdhambi nisafishwe

Kwa damu ya thamani ya Kalvari,

Iliyomwagika kwa watu wote.


Refrain

Naja kwako nisiyestahili,

Naja kwako mimi mdhambi

Naja kwako Bwana nipokee

Miguuni pako ni ngome yangu.


2. Ingawa ninajua mbele yangu,

Mapambano makali yaja kwangu

Kristo ni vyote kwangu sina hofu,

Ni jibu kwa mashaka mbele yangu.


Kurasini SDA Choir.


Kurasini SDA Choir Vol 26, Kurasini Classics, Bedi Score, Bedi Lyrics

Ndoa Ilibarikiwa Lyrics sung by Diana Gesare

Ndoa Ilibarikiwa Lyrics sung by Diana Gesare 1. Ndoa ilibarikiwa na Mungu , Ilianza pale Edeni Kwani Mungu aliona, si vyema Adamu , Awe pek...