Dunia Inayumba Yumba Lyrics sung by Nyandema SDA Choir

Dunia Inayumba Yumba Lyrics sung by Nyandema SDA Choir

1. Dunia inayumba yumba

Zaonyesha dalili za mwisho

Lakini watu hawajali

Wamefumba macho na kuyafunga masikio


Refrain

Lakini binadamu amekataa kabisa

kusikia wito wa Mwokozi Yesu

Amefumba macho na kuyafunga masikio


[Tunaitwa]


Tujeni kwa Yesu leo

atutakase kwa damu yake 

iliyotiririka msalabani

Tupate uzima wa milele.

[Tunaitwa]


Tuvipofu! Tuvipofu! Tuvipofu! Tuvipofu!


2. Ni kweli Yesu anarudi

wenye macho ya kiroho

Tayari wameshatambua

Wengine tu vipofu hivyo hatuoni lolote.


Nyandema SDA Choir.


Re 22:12 And, behold, I come quickly; and my reward is with me, to give every man according as his work shall be.

Re 22:17 And the Spirit and the bride say, Come. And let him that heareth say, Come. And let him that is athirst come. And whosoever will, let him take the water of life freely.

Comments

Popular posts from this blog

Tanzania Nakupenda Lyrics Sung by Acacia Singers, Tanzania

Muumbaji Mfalme Lyrics sung by Kurasini SDA Choir

Bwana wa mabwana Lyrics sung by Cherubim Singers, Nairobi South SDA