Mikononi Mwa Mungu (Furaha Kweli) Lyrics sung The Golden Gate Choir
Mikononi Mwa Mungu (Furaha Kweli) Lyrics sung The Golden Gate Choir
1. Mikononi mwa Mungu nimo huketi
Nimo kupumzikia uchovu wote
Mikononi mwa Mungu ni patulivu
Mikononi mwa mungu raha tu
Chorus
Kote furaha, Amani tele
Furaha kweli, Mikononi mwa Mungu
2. Mikononi mwa Mungu nimo huketi
Nimo hupata maisha yangu ya kweli
Mikononi mwa Mungu hupumzika
Mikononi mwa Mungu amani
3. Mikononi mwa Mungu nimo huketi
Nimo hupata amani yangu ya kweli
Mikononi mwa Mungu ni raha tupu
Mikononi mwa Mungu amani.
The Golden Gate Choir.
The Golden Gate Choir, Mukalu Kaggwa Isaac, Bedi Score, Bedi Lyrics
Comments