Sunday, 19 October 2025

Hatujui Saa Lyrics sung by Light Group Ministry

Hatujui Saa Lyrics sung by Light Group Ministry


1. Hatujui saa ya kuja kwwa Bwana,

Lakini dalili zasema karibu

Atakaporudi, lakini kwa kweli

Hatujui saa


Chorus

Atakuja, kwa vile tukeshe;

Atakuja Mwokozi, Aleluya!

Atakuja kwa fahari ya Baba yake,

Hatujui saa


2. Pana nuru kwao wapendao haki,

Pana kweli katika chuo cha Mungu;

Unabii hufundisha kuja kwake,

Hatujui saa


3. Tutakesha na tutaomba daima,

Tutafanya kazi mpaka akija,

Tutaimba na tutasoma ishara,

Hatujui saa.


Light Group Ministry.


Light Group Ministry, Bedi Score, Bedi Lyrics


Nyimbo za Kristo No. 173 (We Know Not the Hour)

Wewe Ni Baba (Jenga Boma) Lyrics sung by Majaoni AY Kilifi, Kenya

Wewe Ni Baba (Jenga Boma) Lyrics sung by Majaoni AY Kilifi, Kenya 1. Wewe ni Baba wa kinilinda We ndiye shina anipendaye Marafiki wataponia...