Hatujui Saa Lyrics sung by Light Group Ministry
1. Hatujui saa ya kuja kwwa Bwana,
Lakini dalili zasema karibu
Atakaporudi, lakini kwa kweli
Hatujui saa
Chorus
Atakuja, kwa vile tukeshe;
Atakuja Mwokozi, Aleluya!
Atakuja kwa fahari ya Baba yake,
Hatujui saa
2. Pana nuru kwao wapendao haki,
Pana kweli katika chuo cha Mungu;
Unabii hufundisha kuja kwake,
Hatujui saa
3. Tutakesha na tutaomba daima,
Tutafanya kazi mpaka akija,
Tutaimba na tutasoma ishara,
Hatujui saa.
Light Group Ministry.
Light Group Ministry, Bedi Score, Bedi Lyrics