Nakushukuru Bwana Lyrics Sung by LCMM
Verse I
Nakushukuru Bwana,
Kwa kunifanya mwana wako (Hakika)
Usingekuwa upande wangu,
Sijui ningekuwa vipi?
Usingekuwa upande wangu,
Sijui ningekuwa vipi?
Bridge
Nilikuwa nimezama mavumbini
Wala sikumtambua Muumba wangu
Kwa upendo kaniondoa dhambini
Na sasa nimewekwa huru
Verse II
Njoo kwake Yesu akuweke huru
Upate raha milele
Achana na raha za dunia
Mpendwa njoo nami tumsifu
Outro
Tafuta daima utakatifu, (Fanya)
Fanya urafiki na Yesu Mwokozi wako
Twatazamia kufika juu mbinguni,
Siku ya mwisho twende naye
Twatazamia kufika juu mbinguni,
Siku ya mwisho twende naye
Twatazamia kufika juu mbinguni,
Siku ya mwisho twende naye.
Last Call Ministers Ministry.
LCMM, LCMM Vol 1, Bedi Score, Bedi Lyrics