Siku Ya Kuja/Amka Lyrics sung by Ulanda Girls SDA Group
1 Siku ya kuja kwake mkombozi
Yakaribia sana (sana sana)
Mwokozi Yesu ndiye anasema, “Msilale tena” (Mbona)
Refrain
“Mbona mwalala nyinyi wapendwa?” Yesu anawaita
Amkeni msilale tena yeye yu mlangoni (Amka! Amka!)
Amkeni msilale tena yeye yu mlangoni (Mbona)
2 Huko mbinguni ni furaha tele
Mahangaiko hakuna (Oh hakuna)
Tutaimba wimbo wa mwanakondoo na kuishi milele (Mbona).
Ulanda Girls SDA Group.
Ulanda Girls SDA Group, Bedi Score, Bedi Lyrics