Kelele Kasika (Nataka Niwe Pale)
Lyrics sung by Bala Pharez
1. Kelele kasika mawinguni, Ni
mfalme yeye ajaye tena
Sitamnyima maisha yangu, Kwani
nataka niwe pale
Refrain
Nataka nami niwe pale, Nataka
kuishi huko juu
Kwa sababu alitufilia, Msalaba
nami niwe pale
Alikufa kwa ajili yangu, Mdhambi
niwe huru kwake
2. Itakuwa ni shangwe tele,
Tukiingia mbinguni kwa Baba
Washindi wote watafurahia,
Wadhambi wataomboleza
3. Jikane nafsi ili twende kwake,
Ya dunia yanapita haraka
Ya mbinguni ya dumu siku zote,
Uzima na amani tele.
Notes (Grammatical sense)
Chorus, Line 2, Phase 1 & Chorus,
Line 3, Phase 2: Kwa sababu alitufilia...Wadhambi tuwe huru kwake. OR; Kwa
sababu alinifilia…Mdhambi niwe huru kwake.
Bala Pharez.
Bala Pharez, SDA Swahili Classics, Bedi Score, Bedi Lyrics