Friday, 1 May 2026

Kwanza Kapita (Tenda Wema) Lyrics sung by Messengers

Kwanza Kapita (Tenda Wema) Lyrics sung by Messengers


1. Kwanza kapita yule mlawi, Kachungulia akatoweka

Kisha kapita yule kuhani, Kama yule mlawi akatoweka mbali

Bila huruma bila msaada, Kwa aliyepigwa njiani

Wakamwacha bila msaada, Moyo wa chuki wa ukatili


Refrain

Akapita msamaria, Akaonyesha huruma (Haleluya)

Akaonyesha upendo (Haleluya)

Akaguswa na hali yake

Mara ngapi ndugu yangu, Umeonyesha huruma

Kwa wale wenye mahitaji

Hebu uwe Msamaria mwema


2. Kila siku utende mema, Heri kwa watendao mema

Bila kuchoka toa msaada, Japo kidogo kwa jirani

Siku zote ondoa chuki, Sisi sote tu wana wa Mungu.


Messengers.


Messengers, Simba Wa Yuda Vol 3, Bedi Score, Bedi Lyrics

Wewe Ni Baba (Jenga Boma) Lyrics sung by Majaoni AY Kilifi, Kenya

Wewe Ni Baba (Jenga Boma) Lyrics sung by Majaoni AY Kilifi, Kenya 1. Wewe ni Baba wa kinilinda We ndiye shina anipendaye Marafiki wataponia...