Nipe Biblia Lyrics sung by Light Vocal Band
1. Nipe Biblia nyota ya furaha, Wapate nuru wasafirio
Hakuna la kuzuia amani, Kwani Yesu alituokoa
Refrain
Nipe Biblia neno takatifu, Nuru yake itaniongoza
Sheria na ahadi na upendo, Hata mwisho vitaendelea
2. Nipe Biblia nihuzunikapo, Ikinijaza moyoni dhambi
Nipe neno zuri la Bwana Yesu, Nimwone Yesu Mwokozi wangu
3. Nipe Biblia nipate kuona, Hatari zilizo duniani
Nuru ya neno lake Bwana Yesu, Itaangaza njia ya kweli
Refrain
Nipe Biblia neno takatifu, Nuru yake itaniongoza
Sheria na ahadi na upendo, Hata mwisho vitaendelea
4. Nipe Biblia taa ya Maisha, Mfariji tunapofiliwa
Unionyeshe taa ya mbinguni, Nione utukufu wa Bwana
Refrain
Nipe Biblia neno takatifu, Nuru yake itaniongoza
Sheria na ahadi na upendo, Hata mwisho vitaendelea
From: Nyimbo Za Kristo No. 052
Writer: Priscilla Jane Owens.
Light Vocal Band.
Light Vocal Band, Swahili Hymns, Bedi Score, Bedi Lyrics