Tuesday, 2 June 2026

Bwana Naomba Roho Wako Lyrics sung by Kurasini SDA Choir

Bwana Naomba Roho Wako Lyrics sung by Kurasini SDA Choir


1. Bwana naomba roho wako,

Aingie moyoni mwangu, Nami nikutukuze

Unionyeshe wema wako,

Unifundishe pendo lako, Nami nikutukuze.


Refrain

Bwana naomba unisikilize,

Ninahitaji unijaze na roho

Uwashe moto ndani yangu,

Watu wa dunia wajue, Kwamba wewe ni Bwana.


2. Kama wakati wa mitume,

Bwana uliwajaza roho, Na wakashuhudia

Na nguvu kutoka mbinguni,

Watu wengi waliokoka, Bwana ulitukuzwa.


Kurasini SDA Choir.


Kurasini SDA Choir Vol 27, Bedi Score, Bedi Lyrics

Ndoa Ilibarikiwa Lyrics sung by Diana Gesare

Ndoa Ilibarikiwa Lyrics sung by Diana Gesare 1. Ndoa ilibarikiwa na Mungu , Ilianza pale Edeni Kwani Mungu aliona, si vyema Adamu , Awe pek...