Wafilisti Lyrics by The Golden Gate Choir
Wafilisti Lyrics by The Golden Gate Choir
1. Wafilisti walimwamini bingwa yule jemedari
Goliathi aliwatisha watu wote duaniani
Daudi pekee akajitokeza akasimama pale na jiwe
Kwani yeye alimwamini Mungu wa majeshi
Chorus
Kamwendea kwa Imani, akachanga mkombeo
Jemedari akadharau, akasongea kwa Imani
Akimwamini Mungu ngao yake
Akachanga mkombeo, akachanga mkombeo
Bila hofu moyoni mwake
Alimpiga kaanguka Mungu ana uwezo
2. Sauli alikuwa ameelewa Shetani amemushinda
Wafilisti wameingia kwa nguvu za kijeshi
Sauli akasema, "Enyi ndugu ni nani aliye na nguvu?"
Daudi pekee akajitokeza kwa kumuamini Mungu
3. Alimpiga kaanguka, Watu wote wakakimbia
Mkono wa Mungu uliinuka, Kafa kama mbwa
Aliabudu sanamu tupu basi sasa hawezi muokoe*
Ni ajabu kwa mtu shujaa kufa kama mbwa
4. Njooni nyote tumuabudu Mungu anayeweza yote
Tuyashinde maovu ambayo hushinda hata bingwa
Daudi mtoto alisimama akatumia mkombewa
Tusimame na Mungu Baba ndiye ana nguvu.
The Golden Gate Choir.
*tupu basi sasa hawezi muokoe - Not very clear.
Comments
Post a Comment