Siku Ambayo Yesu Alifufuka Lyrics by The Golden Gate Choir
Siku Ambayo Yesu Alifufuka Lyrics by The Golden Gate Choir
1. Siku ambayo Yesu alifufuka Shida ilitokea
Kote ulimwengu katetemeka Kwa kumuona Yesu.
Refrain
Sikia, Sikia!
Wote walitetemeka wakajazwa na hofu nyingi
Viongozi wote na makuhani kamwamini Yesu.
2. Malaika shuka toka mbinguni Akatoa jiwe
Asikari ambayo walimchunga Wakaanguka chini.
3. Mitume walipofika kaburi Ilikuwa tupu
Mavazi ambamo walimuzika Yamewekwa kando.
4. Sasa Yesu aita wana watubu, "Njooni nyote kwangu"
Ni sauti ambayo inavutia Inayosikika.
The Golden Gate Choir.
1 Wakorintho 15:55 “Kuko wapi Ewe mauti kushinda kwako? Uko wapi Ewe mauti uchungu wako?”
1 Corinthians 15:55 O death, where is thy sting? O grave, where is thy victory?
Comments
Post a Comment