Thursday, 31 October 2024

Nena Mungu sung by Cherubim Singers, Nairobi South SDA

Nena Mungu sung by Cherubim Singers, Nairobi South SDA

1. Nena rohoni Yesu, Nena kwa upole 

Sema kwangu kwa pendo, “Huachwi upweke.”

Fungua moyo wangu, Nisikie mara;

Jaza roho na sifa, Sifa zako Bwana.


Kila siku unene, Vile kwa upole.

Nong’oneza [kwa pole] wa upendo:

“Daima utashinda, Uhuru ni wako.”

Nisikie maneno: “Huachwi upweke.”


2. Nena kwa wana wako, Waonyeshe njia,

Wajaze kwa furaha, Fundisha kuomba;

Wajifunze kutoa, Maisha kamili,

Wahimize ufalme, Tumwone Mwokozi.


3. Nena kama zamani, Ulipoitoa

Sheria takatifu: Niiweke pia;

Nipate kutukuza Wewe Mungu wangu,

Mapenzi yako tena, Daima kusifu.


Cherubim Singers, Nairobi South SDA.

F. Campana as Writer, Adapted by Leander Lycurgus.

From Nyimbo Za kristo 013

Wewe Ni Baba (Jenga Boma) Lyrics sung by Majaoni AY Kilifi, Kenya

Wewe Ni Baba (Jenga Boma) Lyrics sung by Majaoni AY Kilifi, Kenya 1. Wewe ni Baba wa kinilinda We ndiye shina anipendaye Marafiki wataponia...