Huyu Yesu Mnazorayo Lyrics Sung by Acacia Singers, Tanzania
Huyu Yesu Mnazorayo Lyrics Sung by Acacia Singers, Tanzania
Verse 1
Huyu Yesu, ataitwa mnazorayo
Huyu Yesu, ataitwa mnazorayo
Twakueleza habari zake Yesu
Aliyeishi kama maskini
Akalelewa Yesu mjini Nazareti
Wakaazi wa mji huo
Wakamwita mnazorayo
Ata akakuwa akihubiri kote
Neno la uzima katika miji yote
Ata akakuwa akihubiri kote
Neno la uzima katika miji yote
Aliitwa mnazorayo
Aliitwa mnazorayo
Verse 2
Alikamatwa Yesu mnazorayo
Akapelekwa mbele ya makuhani
Akaeleza Yesu, “Nalikuwa nanyi,
Siku zote hekaluni nikiwafundisha nyote
Lipi nililotenda kwenu watu wangu
lililobaya kwenu nanyi mwanikamata?
Lipi nililotenda kwenu watu wangu
lililobaya kwenu nanyi mwanikamata?”
Break
Aaa-uuh, Aaah-Aaah
Aaa-aah, Aaah-Uuuh-Aliteswa!
Verse 3
Aliteswa Yesu mnazorayo
Aliteswa Yesu mnazorayo
Akaangikwa pale juu Goligotha
Yesu kalia Eloi, Eloi, Lama Sabakthani?"
Yaani "Mungu wangu,
Mbona sasa waniacha,"
Alilia Yesu masikini
Taji ya miba kawekewa kichwani
Wale Wayahudi hawakumfahamu
Taji ya miba kawekewa kichwani
Wale Wayahudi hawakumfahamu
Verse 4 Outro
Isingekuwa kifo chake Yesu
Nani angetoa uhai wake?
Isingekuwa kifo chake Yesu
Nani angetoa uhai wake?
Verse 5 Outro
Nani mwenye huruma kama Mungu wetu
Kumtoa mwana kubeba laana yangu *4
Acacia Singers, Tz.
Comments
Post a Comment