Nina Rafiki Lyrics sung by Kurasini SDA Choir
Nina Rafiki Lyrics sung by Kurasini SDA Choir
1. Nina rafiki wa maisha, Asiyechoshwa nami
Amechukua shida zangu, Anipenda upeo
Refrain
Ananipenda, Nampenda!
Ooh Ooh Yesu, Mkombozi wangu
Aliacha enzi yake, Akaja kanikomboa
Mkombozi wangu, Akashuka kwangu
Toka utumwani, Kaniweka huru
2. Kifo kaburi havivumi, Najua iko siku
Hata nikifa, atafufuka* Yesu anaporudi
Kurasini SDA Choir.
Hata nikifa, *(atafufuka); (atanifufua)
For Revision #ForRevision