Tuesday, 10 June 2025

Nina Rafiki Lyrics sung by Kurasini SDA Choir

Nina Rafiki Lyrics sung by Kurasini SDA Choir


1. Nina rafiki wa maisha, Asiyechoshwa nami

Amechukua shida zangu, Anipenda upeo


Refrain

Ananipenda (Ananipenda), Nampenda!

Ooh Ooh Yesu, Mkombozi wangu

Aliacha enzi yake, Akaja kanikomboa


Mkombozi wangu, Akashuka kwangu

Toka utumwani, Kaniweka huru


2. Kifo kaburi havivumi, Najua iko siku

Hata nikifa, atafufuka Yesu anaporudi.


Kurasini SDA Choir.


Kurasini SDA Choir, Kurasini Classics, Injili Kwanza Album, Kurasini Acapella, For Revision, Bedi Score, Bedi Lyrics


Stanza 2; Hata nikifa, *atafufuka; Hata nikifa atanifufua.

Wewe Ni Baba (Jenga Boma) Lyrics sung by Majaoni AY Kilifi, Kenya

Wewe Ni Baba (Jenga Boma) Lyrics sung by Majaoni AY Kilifi, Kenya 1. Wewe ni Baba wa kinilinda We ndiye shina anipendaye Marafiki wataponia...