Tazama Upendo - Mikoni Mwa Yesu Lyrics sung by Kurasini SDA Choir
Tazama Upendo - Mikoni Mwa Yesu Lyrics sung by Kurasini SDA Choir
1. Tazama upendo wa Mwokozi Yesu
Alivyotupenda hapo mwanzoni
Ahitaji wote watangao mbali
Wamrudie Mungu waokolewe
Atafuta waliokata tamaa
Waliochoshwa na dhambi Yesu anawaita
Waliolemewa na mizigo moyoni
Watakuwa huru atawapumzisha
Refrain
Hata sasa amini (wote) uwe huru
Tazama utazame Kalwari
Wanaomtumaini watabarikiwa
Ufalme u tayari kwa ajili yao
2. Mungu wa mbinguni awapenda wote
Ni mchunga mwema wakati wote
Ujapopita bondeni mwa mauti
Atakulinda ubaki salama
Miguuni pa Yesu kuna amani
Mbele yangu kuna ulinzi ulio imara
Awaita wote waje waokolewe
Watapata raha atawapumzisha
Outro
Wito wa Yesu kwa wote waliolemewa
Mikononi mwa Yesu watakuwa huru
Mikononi mwa Yesu, (Mikononi mwa Yesu)
Waliao watafutwa machozi, njoo kwa Yesu.
Kurasini SDA Choir.