Pana Mahali Pazuri Mno Lyrics sung by Light Group Ministry
Pana Mahali Pazuri Mno Lyrics sung by Light Group Ministry
1. Pana mahali pazuri mno
Twapaona kwa mbali sasa
Baba yetu angoja pale
Amepanga makao yetu
Refrain
Kitambo tu bado
Tutakutana ng’ambo pale
Kitambo tu bado
Tutakutana ng’ambo pale
2. Tutaimba pale kwa moyo
Nyimbo tamu za wenye heri
Na rohoni hatutaona
Tena haja ya kupumzika
3. Kwa Baba yetu mkarimu
Tutatoa shukrani sana
Kwa kipaji cha pendo lake
Na baraka anazotupa.
Light Group Ministry.
Light Group Ministry, Bedi Score, Bedi Lyrics
Nyimbo za Kristo No. 180 (In the Sweet By and By/There’s a Land)
Comments