Sunday, 19 October 2025

Pana Mahali Pazuri Mno Lyrics sung by Light Group Ministry

Pana Mahali Pazuri Mno Lyrics sung by Light Group Ministry


1. Pana mahali pazuri mno

Twapaona kwa mbali sasa

Baba yetu angoja pale

Amepanga makao yetu


Refrain

Kitambo tu bado

Tutakutana ng’ambo pale

Kitambo tu bado

Tutakutana ng’ambo pale


2. Tutaimba pale kwa moyo

Nyimbo tamu za wenye heri

Na rohoni hatutaona

Tena haja ya kupumzika


3. Kwa Baba yetu mkarimu

Tutatoa shukrani sana

Kwa kipaji cha pendo lake

Na baraka anazotupa.


Light Group Ministry.


Light Group Ministry, Bedi Score, Bedi Lyrics


Nyimbo za Kristo No. 180 (In the Sweet By and By/There’s a Land)

Wewe Ni Baba (Jenga Boma) Lyrics sung by Majaoni AY Kilifi, Kenya

Wewe Ni Baba (Jenga Boma) Lyrics sung by Majaoni AY Kilifi, Kenya 1. Wewe ni Baba wa kinilinda We ndiye shina anipendaye Marafiki wataponia...