Thursday, 23 April 2026

Asubuhi Kumepambazuka (Je Wamwita Bwana) Lyrics sung by Kurasini SDA Choir

Asubuhi Kumepambazuka (Je Wamwita Bwana) Lyrics sung by Kurasini SDA Choir


1. Asubuhi kumepambazuka, Je wamwita Bwana? Je wamwita Bwana?

Aongoze mapitoni mwako, Je wamwita Bwana? Mapitoni mwako?


Refrain

Mchana kutwa umehangaika, Umezunguka huku na kule

Na jioni ita nyumba yako, Kumshukuru Mungu, Kumshukuru Mungu.


2. Uamke usiku manane, Ongea na Bwana, Ongea na Bwana 

Usichoke kutapambazuka, Yaliyo magumu atakushindia.


Kurasini SDA Choir.


Kurasini SDA Choir, Kurasini Classics, Kurasini Vol 25, Bedi Score, Bedi Lyrics

Wewe Ni Baba (Jenga Boma) Lyrics sung by Majaoni AY Kilifi, Kenya

Wewe Ni Baba (Jenga Boma) Lyrics sung by Majaoni AY Kilifi, Kenya 1. Wewe ni Baba wa kinilinda We ndiye shina anipendaye Marafiki wataponia...