Thursday, 30 April 2026

Faraja Iko Wapi Lyrics sung by Kurasini SDA Choir

Faraja Iko Wapi Lyrics sung by Kurasini SDA Choir


1. Faraja iko wapi, Kati ya wanadamu?

Na wote wenye mwili ni dhaifu

Watafuta shauri Kati ya wanadamu

Walio kwenye shida na maovu


Refrain

Tafuta amani na watu wote, Uwe mtulivu,

Mpendeze Mungu (Mpendeze Mungu)

Fungu jema lakungojea, Umalizapo mwendo

Wa’ heri wenye moyo safi, Watamuona Mungu


2. Bwana ninakuomba, Shika kauli zangu

Ziwe zenye baraka kwa wengine

Waliobondwa mioyo warejeshe nguvu

Wasije kupotea, Wape nguvu.


Note

Kati ya wanadamu?; Katika 

Wa’ heri = Wana heri


Kurasini SDA Choir.


Kurasini SDA Choir, Kurasini Classics, Kurasini Vol 33, Bedi Score, Bedi Lyrics

Wewe Ni Baba (Jenga Boma) Lyrics sung by Majaoni AY Kilifi, Kenya

Wewe Ni Baba (Jenga Boma) Lyrics sung by Majaoni AY Kilifi, Kenya 1. Wewe ni Baba wa kinilinda We ndiye shina anipendaye Marafiki wataponia...