Ulipo Amini Lyrics sung by Kurasini SDA Choir
1-1
Ulipo amini na kuacha dhambi,
Ulipomrudia Bwana Mungu wako
Je ulikumbuka kumtumaini Mungu (Atawale shida)
Au ulipoanguka, Je uliomba msaada?
1-2
Ulipojutia machungu ya dhambi,
Na kutafakari ulivyolemewa mawazoni mwako
Umekosa faraja (Leo ndugu yangu)
Ukimtegemea utafarijika sana.
Refrain
(Oh Tazama) Tazameni watu wanavyoangamia
Wakifikiri kuna faida kupata vyote vya ulimwenguni
Mwishoni Maisha yao yanatoweka bila matumaini
Siku zote mwamini Yesu atakupigania
(Oh Tazama) Tazameni watu wanavyoangamia
Wakifikiri kuna faida kupata vyote vya ulimwenguni
Mwishoni Maisha yao yanatoweka bila matumaini
Siku zote mwamini Yesu atakupigania
2
Kila utendayo hata uwazayo yote ubatili
Bila roho wake utaenda wapi, Ufiche uso wako?
Bado anangojea (Bado anangojea) utafakari moyoni
Nafasi ni sasa umrudie Mungu vyote vya dunia
Utavisahau kwa neno la Mungu utaka salama
(Japo u dhaifu) Japo mwili dhaifu neno lake linatosha.
Kurasini SDA Choir.
Kurasini SDA Choir, Kurasini Classics, Kurasini Vol 33, Bedi Score, Bedi Lyrics