Thursday, 30 April 2026

Kuna Sauti Yabisha (Fungua Mlango) Lyrics sung by Kurasini SDA Choir

Kuna Sauti Yabisha (Fungua Mlango) Lyrics sung by Kurasini SDA Choir


1. Kuna sauti yabisha kwangu

Ni nani anayebisha hodi kwangu?

‘Ni mimi Yesu nataka nikae kwako,

Nina jambo jema kwako’


Refrain

'Fungua (Fungua) mlango, Nabisha

Nina jambo jema kwako

Nina maji ya uzima kwako,

Fungua mlango, Mlango wa moyo wako'


2. ‘Kwangu kuna maji ya uzima,

Yatolewa bure kwa yule ajaye

Yeye anywaye hataona kiu tena

Njooni nyote munywe bure.’


Kurasini SDA Choir.


Kurasini SDA Choir, Kurasini Classics, Kurasini Vol 33, Bedi Score, Bedi Lyrics

Wewe Ni Baba (Jenga Boma) Lyrics sung by Majaoni AY Kilifi, Kenya

Wewe Ni Baba (Jenga Boma) Lyrics sung by Majaoni AY Kilifi, Kenya 1. Wewe ni Baba wa kinilinda We ndiye shina anipendaye Marafiki wataponia...