Friday, 24 April 2026

Onyo Hili Lyrics Sung by LCMM

Onyo Hili Lyrics Sung by LCMM


1. Onyo hili lako ewe Mungu, Lanikera nafsi yangu

Ole wangu nitendaye dhambi, Palipo na giza

Moyoni mwangu ninawaza kwamba

Nani aonaye? Nani ajuaye jambo ninalolitenda?

Nani aonaye? Nani ajuaye jambo ninalolitenda?


Refrain

Bwana wangu wewe wanijua,

Giza kwangu kwako mwangaza

Nikufiche nini ewe Bwana?

Kwako vyote wazi

-? Nibadilishe, niepushe na yale maovu

-? Nibadilishe, niepushe na yale maovu


2. Niufiche wapi uso wangu

Pale zote sawa wako

Milimani, bondeni, gizani,

Chini ya bahari

Hakuna usiloweza kuona

Bwana nipe nguvu (Bwana)

Bwana nipe nguvu (Bwana)

Mimi mwenye dhambi, Sina wema wakutosha


Last Call Ministers Ministry.


For Revision


LCMM, LCMM Vol 1, Bedi Score, Bedi Lyrics

Wewe Ni Baba (Jenga Boma) Lyrics sung by Majaoni AY Kilifi, Kenya

Wewe Ni Baba (Jenga Boma) Lyrics sung by Majaoni AY Kilifi, Kenya 1. Wewe ni Baba wa kinilinda We ndiye shina anipendaye Marafiki wataponia...