Friday, 24 April 2026

Yule Kipofu Lyrics Sung by LCMM

Yule Kipofu Lyrics Sung by LCMM


1. Yule kipofu alilia kwa nguvu

"(Nabii!) Bwana unirehemu"

Kilio chake kikafika kwa Yesu

Akasema, "Mleteni" akaponywa kabisa


Chorus, Part I

"Ninataka macho yangu yaone,

Mwanadaudi nirehemu"

"Ninataka macho yangu yaone,

Mwanadaudi nirehemu"


Sauti ya kipofu, Ikashangaza wengi

Sauti ya kipofu, Ikashangaza wengi



Chorus, Part II

"Takasika," Nasema "Takasika,"

Yule kipofu akaona

"Takasika," Nasema "Takasika,"

Yule kipofu akaona


Sauti ya kipofu, Ikashangaza wengi

Sauti ya kipofu, Ikashangaza wengi


2. Wakristo wengi kanisa ni vipofu,

Mwili ndoa takatifu

Sauti ya Unabi tumepuuza

Sabato takatifu, Tupe macho tuone.


Last Call Ministers Ministry.


LCMM, LCMM Vol 2, Bedi Score, Bedi Lyrics

Wewe Ni Baba (Jenga Boma) Lyrics sung by Majaoni AY Kilifi, Kenya

Wewe Ni Baba (Jenga Boma) Lyrics sung by Majaoni AY Kilifi, Kenya 1. Wewe ni Baba wa kinilinda We ndiye shina anipendaye Marafiki wataponia...