Friday, 24 April 2026

Tunasimama Lyrics Sung by LCMM

Tunasimama Lyrics Sung by LCMM


1 Tunasimama katika nyakati,

Zilizonenwa za hatari

Hofu za vita kila mahali,

Hakuna amani tena duniani 

Mafaragano kati ya mataifa,

Chuma na udongo haziwezi changanywa kamwe


Refrain

Dunia ukingoni mwisho wa safari

Linda imani hadi mwisho

Ni wakati wa kukesha kuomba

Ni wakati wa kuketi na Bwana

Ni wakati wa kuokoa nafsi

Tengeneza njia mwisho u karibu


2 Inua macho utazame juu

Wokovu wetu u mlangoni

Msilale kamwe msilale

Mkeshe muombe japo kwa kitambo (kidogo)

Matukio haya tunayoyaona,

Yanatimiza unabii wa siku za mwisho.


Last Call Ministers Ministry.


LCMM, LCMM Vol 2, Bedi Score, Bedi Lyrics

Wewe Ni Baba (Jenga Boma) Lyrics sung by Majaoni AY Kilifi, Kenya

Wewe Ni Baba (Jenga Boma) Lyrics sung by Majaoni AY Kilifi, Kenya 1. Wewe ni Baba wa kinilinda We ndiye shina anipendaye Marafiki wataponia...