Friday, 24 April 2026

Nina Ujasiri Lyrics Sung by LCMM

Nina Ujasiri Lyrics Sung by LCMM


1. Nina ujasiri, Mungu yu nami

Anilisha aninywesha, Mungu yu nami

Ata kama nasononeka, Sina mashaka

Mungu amenipa uhai


Refrain

Siku zote tunasifu, Mungu yu nasi

Kawa na babu zetu, Siku zote daima

Bahari walivuka, Maji akayatuliza

Jina lake ni "IMANUELI," "MUNGU YU NASI."


2. Wengi wauliza, "Mungu yu wapi?

Siku zote tumwabudu, Mungu katuacha?"

Mayatima na wajane, Wote wauliza,

"Mbona haya twayapitia?"


Last Call Ministers Ministry.


LCMM, LCMM Vol 1, Bedi Score, Bedi Lyrics

Wewe Ni Baba (Jenga Boma) Lyrics sung by Majaoni AY Kilifi, Kenya

Wewe Ni Baba (Jenga Boma) Lyrics sung by Majaoni AY Kilifi, Kenya 1. Wewe ni Baba wa kinilinda We ndiye shina anipendaye Marafiki wataponia...