Friday, 1 May 2026

Ikiwa Ni Mshindi (Taji la Johari) Lyrics sung by Messengers

Ikiwa Ni Mshindi (Taji la Johari) Lyrics sung by Messengers


1. Ikiwa ni mshindi (Mshindi) nitamuona Yesu (Oh Yesu)

Taji nitakayovikwa (Vikwa), Taji na Johari

Ikiwa ni mshindi (Mshindi)  nitamuona Yesu (Oh Yesu)

Taji nitakayovikwa (Vikwa), Taji na Johari


Refrain

Na wewe mwenzangu kazana

Uwe katika lile kundi, Litakalovikwa na Yesu

Taji la johari (Johari)

Usitamanie dunia, Hayo ni ya muda kitambo

Yafikirie ya mbinguni, Uwe ni mshindi (Mshindi)


2. Mimi huyu natamani (Tamani) kumuona Yesu (Oh Yesu)

Akija kwa Fahari (Tamani)  nao Malaika

Mimi huyu natamani (Tamani) kumuona Yesu (Oh Yesu)

Akija kwa fahari (Tamani) nao Malaika


3. Mbingu nazo zitakunjwa (Kunjwa) kama ukurasa (Kurasa)

Nchi itatemeka (Tetemeka) kwa kumuona Yesu

Mbingu nazo zitakunjwa (Kunjwa) kama ukurasa (Kurasa)

Nchi itatemeka (Tetemeka) kwa kumuona Yesu.


Note

There's is Taji na Johari and Taji la Johari. Zote ambazo zimetumika kwenye Stanza 1, na kwenye Koras.

Also there are animations added throughout the song. Kuna pambio kote as the song goes along.


Messengers


Messengers, Simba Wa Yuda Vol 3, Bedi Score, Bedi Lyrics

Wewe Ni Baba (Jenga Boma) Lyrics sung by Majaoni AY Kilifi, Kenya

Wewe Ni Baba (Jenga Boma) Lyrics sung by Majaoni AY Kilifi, Kenya 1. Wewe ni Baba wa kinilinda We ndiye shina anipendaye Marafiki wataponia...