Najitahidi Kila Siku Lyrics sung by Messengers
Kutenda mapenzi ya Bwana (Ooh)
Bali najikuta kila siku naanguka (Ninarushwa)
Ninarushwa rushwa na dunia sistahili
1-II
-? kama mtini usiozaa tunda jema
Machoni pa Bwana
Nimekuwa mwenye dhambi (Sistahili)
Nimeupoteza utu wangu wa zamani
Chorus
Dhambi zangu zimenilemeaa,
Kimbilio langu ni Kalwari (Ooh)
Hapo nitamwona Bwana wangu msalabani (Ninajua)
Nitapata nguvu damu yake yanitosha
2. Najisalimisha kwa Yesu,
Mbinguni pake ni salama (Ooh)
Sitarudi nyuma sitachoka siku zote (Sitachoka)
Pepo zitavuma nitasimama imara
2-II
Chukua vyote nipe Yesu,
Yeye pekee anitosha
Sitarudi nyuma sitachoka siku zote (Sitachoka)
Nitajipa moyo safarini Yesu yupo
For Revision: 1-II; -? -? kama mtini usiozaa tunda jema (Can't get the correct wording)
Messengers, Simba Wa Yuda Vol 3, Bedi Score, Bedi Lyrics