Friday, 1 May 2026

Kuja Kwa Bwana Lyrics sung by Kurasini SDA Choir

Kuja Kwa Bwana Lyrics sung by Kurasini SDA Choir


1. Kuja kwa Bwana, Arudipo mara ya pili

Eeh ndugu u tayari? Tayari kumpokea mawinguni

Ajapo tena, Jeshi lote la Malaika

Litashuka angani, Angani kuchukua wateule.


1-II

Walioteseka wakiri, Kwa utukufu wake Bwana

Wakivaa kutoharibika, Milele furaha tele.


Chorus

Heri kuteseka pamoja na Yesu,

Ajuaye mambo ya kesho

Faraja na amani, Vyapatikana kwake

Mambo mazuri, Yanatungojea huko mbinguni.


2. Wakati bado, (-?Je) Kuamsha waliolala

Tuone uso wako, Tuone makovu ya msalaba

Ulivyomchomwa, Ubavuni kutukomboa

Kuleta ondoleo la dhambi, Pendo lako laokoa.


2-II

Tumekombolewa dhambini, Tuvikwe utu upya tena

Tufananishwe mfano wake, Ilivyokuwa zamani.


For Revision: Stanza 2, Line 1; Recheck other recording. Wakati bado, (-?Je) Kuamsha waliolala


Kurasini SDA Choir.


Kurasini SDA Choir, Kurasini Classics, Kurasini Vol 24, For Revision, Bedi Score, Bedi Lyrics

Wewe Ni Baba (Jenga Boma) Lyrics sung by Majaoni AY Kilifi, Kenya

Wewe Ni Baba (Jenga Boma) Lyrics sung by Majaoni AY Kilifi, Kenya 1. Wewe ni Baba wa kinilinda We ndiye shina anipendaye Marafiki wataponia...