Friday, 1 May 2026

Miguu Yangu Lyrics sung by Kurasini SDA Choir

Miguu Yangu Lyrics sung by Kurasini SDA Choir


Prelude

Humming (Uuuhhuu...Uuhhuu)


1. Miguu yangu, Bado ina nguvu

Mikono yangu, Bado ina nguvu

Akili yangu, Inapambanua

Na macho yangu, Bado yanaona.


Bridge

Humming (Uuuhhuu...Uuhhuu)


Bridge; Oratorio with Hums as above

Mkumbuke Muumba wako siku za ujana wako

Kabla hazijaja siku zilizo mbaya

Wala haijakaribia miaka utakaposema,

"Mimi sina furaha katika hayo."


2. Sina sababu, Ya kutovuka ng'ambo

Kuitangaza, Injili ya Bwana

Sioni haya, Kuitwa mwana wake

Anasumbuka, Kwa ajili yangu.


Outro

Anasumbuka, Kwa ajili yangu.


Notes: Refer recording for humming phasing and structure.


Kurasini SDA Choir.


Kurasini SDA Choir, Kurasini Classics, Kurasini Vol 24, Bedi Score, Bedi Lyrics

Wewe Ni Baba (Jenga Boma) Lyrics sung by Majaoni AY Kilifi, Kenya

Wewe Ni Baba (Jenga Boma) Lyrics sung by Majaoni AY Kilifi, Kenya 1. Wewe ni Baba wa kinilinda We ndiye shina anipendaye Marafiki wataponia...