Friday, 1 May 2026

Namshukuru Bwana Lyrics sung by Kurasini SDA Choir

Namshukuru Bwana Lyrics sung by Kurasini SDA Choir


1. Namshukuru Bwana kwa kila jambo

Namshukuru hata kwa majaribu

Yote ni mapenzi yake namshukuru,

Kila jambo na wakati wake,

Yote mapenzi yake.


Refrain

Kwenye moyo wangu fanya kituo Bwana

Kifuani mwako nitajiegemeza

Hofu na mashaka yote utanikingia Bwana

Namshukuru, Oh namshukuru,

Namshukuru, Oh namshukuru,

Kwa yote.


2. Namshukuru hata kwa milima mabonde,

Namshukuru kwa wakati wa hari

Hata kwa kimbunga nitamshukuru,

Kuishi kwangu ni Kristo pekee,

Na kufa ni faida.


Kurasini SDA Choir.


Kurasini SDA Choir, Kurasini Classics, Kurasini Vol 24, Bedi Score, Bedi Lyrics

Wewe Ni Baba (Jenga Boma) Lyrics sung by Majaoni AY Kilifi, Kenya

Wewe Ni Baba (Jenga Boma) Lyrics sung by Majaoni AY Kilifi, Kenya 1. Wewe ni Baba wa kinilinda We ndiye shina anipendaye Marafiki wataponia...