Monday, 11 May 2026

Tulipokuwa Wenye Dhambi Lyrics sung by Kurasini SDA Choir

Tulipokuwa Wenye Dhambi Lyrics sung by Kurasini SDA Choir


1. Tulipokuwa wenye dhambi, tulipotea mbali

Kama wana wa Mungu tusilale, Tusijetenganishwa na Mungu

Sote kama wahitaji, dhambi zetu tuzioshe,

Kwa damu ya Mwanakondoo, Nuru yetu iangaze

Ndilo agizo la Mungu, ‘Ombeni na mtapewa,

Tafuteni muone mibaraka, mtafunguliwa.’


Refrain

Je ndugu yangu, wajitahidi kuwa na Yesu?

Na Yesu maishani mwako? (Na Yesu)

Wajitahidi kuwa na amani (Na watu wote)

Upendo wa ukweli hauhesabu baya katika maisha

Sote ni ndugu katika Kristo,

Twahitaji msaada wa Mungu.


2. Sasa tunamjua Mungu, hakika tutashinda

Ushindi na Yesu ni wa hakika, Ulielewa urejee

Nguvu kutoka mbinguni, Tumaini lenye heri

Na utakuwa huru kweli, uonapo majaribu

Uliyekata tamaa, Mungu wetu wa upendo

Ndiye ajuaye yajayo mbele, asihi urudi.


Kurasini SDA Choir.


Kurasini SDA Choir, Kurasini Classics, Kurasini Vol 29, Bedi Score, Bedi Lyrics

Wewe Ni Baba (Jenga Boma) Lyrics sung by Majaoni AY Kilifi, Kenya

Wewe Ni Baba (Jenga Boma) Lyrics sung by Majaoni AY Kilifi, Kenya 1. Wewe ni Baba wa kinilinda We ndiye shina anipendaye Marafiki wataponia...