Wanadamu Wanatafuta Maisha Lyrics Sung by Kurasini SDA Choir
1. Wanadamu wanatafuta maisha, Lakini hawadumu (Hawadumu)
Siku zao zimekwisha hesabiwa, Katika ulimwengu huu leo
Leo watachanua kama maua, Na kesho wanyauka (Wapotea)
Siku zao zimekwisha hesabiwa, Katika ulimwengu huu.
Refrain
(Yote) Yote yamejificha, Nani ajuaye kama kesho atakuwepo?
Siku zetu si nyingi, Tafuta ufalme wa Mungu kwanza.
2. Jiulize je ni kwa kiasi gani, Umeshakwenda mbali (Wapotea)
Kwa kumbatia mambo ya dunia, Haya yanayotokea
Yatapita haya yote yatapita, Na tutayasahau (Yanapita)
Tumaini weka kwenye nchi mpya, Yesu anaporejea.
Kurasini SDA Choir.
Kurasini SDA Choir, Kurasini Classics, Kurasini Vol 29, Bedi Score, Bedi Lyrics