Anakuja Mwanaseremala Lyrics Sung by Kurasini SDA Choir
Pre-Verse: Ooo-ooooooh
1. Anakuja mwanaseremala, Mkombozi wa dunia
Wale wote waliomchoma, Watamwona akishuka
Anakuja mwanaseremala, Mkombozi wa dunia
Wale wote waliomchoma, Watamwona akishuka
Hapo ndipo watapolia, Ni siku ya kutisha
Hapo ndipo watapolia, Ni siku ya kutisha.
Refrain
Haleluya! -? Yesu yuaja, Kila jicho litamuona (‘tamuona)
Haleluya! Atakuja kwa -?, Mwana seremala akija.
2. Wateule watashangilia, Wakimwona akishuka
Wenye dhambi nao watajificha, Wasimuone uso wake
Wateule watashangilia, Wakimwona akishuka
Wenye dhambi nao watajificha, Wasimuone uso wake
Hapo ndipo watapolia, Ni siku ya kutisha
Hapo ndipo watapolia, Ni siku ya kutisha.
3. Utakuwa wapi e mwenzangu, Kipenzi Yesu akija
Akishuka nao utukufu, Sio seremala tena
Utakuwa wapi e mwenzangu, Kipenzi Yesu akija
Akishuka nao utukufu, Sio seremala tena
Hapo ndipo watapolia, Ni siku ya kutisha
Hapo ndipo watapolia, Ni siku ya kutisha.
For Revision
R1: Haleluya! -? Yesu yuaja, Kila jicho litamuona (‘tamuona)
R2: Haleluya! Atakuja kwa -?, Mwana seremala akija.
Kurasini SDA Choir.
Kurasini SDA Choir Assorted, Kurasini Classics, For Revision, Bedi Score, Bedi Lyrics