Hukumu Ikapita (Usiku Ule Wa Huzuni) Lyrics sung by Kurasini SDA Choir
1. Hukumu ikapita, Hukumu ya kifo
Watu washangilia, Sauti ya Mwokozi
Ikawashangaza, ‘Baba, uwasamehe.’
Refrain
Usiku ule wa huzuni, Nyota zikatiwa giza
Nao mwezi angani, Ukawa giza,
Yesu akabili kifo.
2. Pilato akasema, ‘Sioni hatia,
Juu ya mtu huyu,’ Kelele kasikika
‘Damu ya mtu huyu, Na iwe juu yetu.’
Kurasini SDA Choir.
Kurasini SDA Choir Vol 27, Kurasini Classics, Bedi Score, Bedi Lyrics