Tuesday, 2 June 2026

Najuta Kwa Kuwazia (Nimeamua Kumfuata Yesu) Lyrics sung by Kurasini SDA Choir


Najuta Kwa Kuwazia (Nimeamua Kumfuata Yesu) Lyrics sung by Kurasini SDA Choir


1. Najuta kwa kuwazia,

Maumivu na matatizo ya maisha

Nimepoteza wakati, Kwa kung'ang'ania,

Mambo nisiyoweza.


Refrain

Nimeamua kumfuata Yesu,

Sitamani mambo ya zamani

Rehema zake kwangu zimenipa furaha

Nasonga mbele naye Yesu yuko nami.


2. Naacha kuwalaumu,

Na kuwachukia watu na matukio

Mzigo wa hatia,

Nimeutua na Yesu kanipa furaha.


3. Nakubali badiliko,

La maisha yangu na mimi natambua

Bwana Yesu amefanya makao,

Ndani yangu, Nimeumbwa upya.


Kurasini SDA Choir.


Kurasini SDA Choir, Kurasini Vol 28, Bedi Score, Bedi Lyrics

Acheni Kristo Aitwe Kristo Lyrics Sung by Kurasini SDA Choir

Acheni Kristo Aitwe Kristo Lyrics Sung by Kurasini SDA Choir 1. Acheni Kristo, aitwe Kristo; Ni mfalme, Yule wa zamani, Kristo wa leo hii; ...