Usiku Wa Manane Lyrics sung by Kurasini SDA Choir
Pre-Chorus
Usiku wa manane, kelele zikasika,
Amini; Usiku wa manane, kelele zikasika.
Refrain
Habari za wanawali kumi,
Watano walijawa busara
Watano ni wale wapumbavu,
Je, unapata fundisho gani?
Je, wajiweka tayari?
1. Safari yetu ya kwenda Mbinguni,
Usiku umeendelea
Wengine wamelala usingizi
Mwokozi yuko mlangoni.
Amkeni enyi wana wa nuru
Vaeni silaha za vita
Yuaja, alivyo ahidi
Aja kama mwivu, Yu mlangoni.
2. Shetani na wala hana lolote
Hukumu yake imekwisha
Bendera ya Yesu inapepea
Ingia makao ya raha.
Amkeni enyi wana wa nuru
Vaeni silaha za vita,
Yuaja alivyoahidi,
Aja kama mwivu, Yu mlangoni.
Kurasini SDA Choir Assorted 2, Kurasini Classics, Bedi Score, Bedi Lyrics