Naamani Shujaa Wa Jeshi Lyrics sung by Acacia Singers

Naamani Shujaa Wa Jeshi Lyrics sung by Acacia Singers

1. Shujaa wa jeshi lile la washami
Mtu mkubwa jemedari mkuu wa vita
Muheshimiwa alishinda vita nyingi
Ni Naamani lakini alikuwa mkoma

Refrain
Mara saba ukaoge Yorodani
Utakaswe ngozi yako utapona 

2. Binti yule mfungwa mfanyakazi
Mu-Isiraeli aliyejawa huruma
Alitamka laiti angekuwepo
Nabii yule wa Msamaria angepona

3. Sasa tazama najua yote hakika
Hakuna Mungu humu duniani mwote
Ila katika Israeli pekee
Alitamka Naamani alipoponywa

Outro 1
Huyu Mungu muumbaji
Ndiye Mungu Bwana wetu
Anayeponya magonjwa
Na kutenda maajabu 

Outro 2
Njoo utakaswe dhambi zako
Usafishwe naye (na Yesu) kwa damu yake.

Acacia Singers, Tz.

Comments

Popular posts from this blog

Tanzania Nakupenda Lyrics Sung by Acacia Singers, Tanzania

Damu Yake Lyrics sung by The Golden Gate Choir

Nyosha Mkono Wako Lyrics sung by Nyandema SDA Choir