Kiasi Gani - Rudi Nyumbani Lyrics sung by Kurasini SDA Choir

Kiasi Gani - Rudi Nyumbani Lyrics sung by Kurasini SDA Choir

1. Kiasi gani watanga mbali na Bwana
Na umerushwa rushwa huku na kule
Dunia imejaa mahangaiko,
Mahangaiko taabu za maisha
Rudi nyumbani, rudi kwa Bwana
Unahangaika bure, rudi nyumbani

Refrain
Rudi nyumbani, rudi kwa Bwana,
Sasa yatosha, rudi nyumbani
Kuna mambo mazuri yanayokungojea,
Kivulini mwa Yesu kuna faraja,
Nyumba ni nyumbani utakuwa hura
Kuna sauti inakuita,
Rudi nyumbani Bwana anakuita

2. Duniani kuna mbwa mwitu wakali
Wasio na huruma wala hisani
Waliotayari kukuangamiza
Watakurarua wakuangamize
Rudi nyumbani, mwanangu rudi
Unahangaika bure, rudi nyumbani.

Kurasini SDA Choir.

Popular posts from this blog

Tanzania Nakupenda Lyrics Sung by Acacia Singers, Tanzania

Damu Yake Lyrics sung by The Golden Gate Choir

Nyosha Mkono Wako Lyrics sung by Nyandema SDA Choir