Thursday, 12 June 2025

Kiasi Gani (Rudi Nyumbani) Lyrics sung by Kurasini SDA Choir


1. Kiasi gani watanga mbali na Bwana
Na umerushwa rushwa huku na kule
Mahangaiko taabu za maisha
Rudi nyumbani, rudi kwa Bwana
Unahangaika bure, rudi nyumbani

Refrain
Rudi nyumbani, rudi kwa Bwana,
Sasa yatosha, rudi nyumbani
Kuna mambo mazuri yanayokungojea,
Kivulini mwa Yesu kuna faraja,
Nyumba ni nyumbani utakuwa hura
Kuna sauti inakuita,
Rudi nyumbani Bwana anakuita

Wasio na huruma wala hisani
Waliotayari kukuangamiza
Watakurarua wakuangamize
Rudi nyumbani, mwanangu rudi
Unahangaika bure, rudi nyumbani.

Kurasini SDA Choir.

Wewe Ni Baba (Jenga Boma) Lyrics sung by Majaoni AY Kilifi, Kenya

Wewe Ni Baba (Jenga Boma) Lyrics sung by Majaoni AY Kilifi, Kenya 1. Wewe ni Baba wa kinilinda We ndiye shina anipendaye Marafiki wataponia...