Safari Ya Mbinguni Lyrics sung by Kurasini SDA Choir
Safari Ya Mbinguni Lyrics sung by Kurasini SDA Choir
1. Safari ya mbinguni;
Kwenye njia nyembamba
Tumaini linapotoweka
Nainua uso wangu
Nitazame juu, Sing ladies;
Ninapaza sauti; ‘Yesu uniokea’
Refrain
Eeeeh; Katika mikono ya Bwana nimetia nanga,
Oooh; Katika shida nilimwita akanisikia
Mikononi mwa Bwana kivuli cha faraja,
‘Enyi nyote mliolemewa,’ Bwana, anawaita
2. Katika giza hili;
Yesu aliniona
Akayafuta machozi yangu
Nikawa mtumwa huru
Nina amani, Sing ladies;
Bila Yesu ni bure, Sasa nina amani.
Kurasini SDA Choir.