Ninayaweza Mambo Yote Lyrics sung by Kurasini SDA Choir
Ninayaweza Mambo Yote Lyrics sung by Kurasini SDA Choir
1. Ninayaweza mambo yote,
Kwa jina la Yesu
Nimejifunza kumtumaini siku zote
Refrain
Nayaweza yote kwa jina la Yesu,
Mbele yangu (ni)naona nuru
Anaongoza mapito yangu,
Ni jibu kwa mashaka yangu
Sitapungukiwa chochote,
Anajua shida zangu
2. Furaha amani ninatapata,
Kwa jina hili
Ni mtetezi wangu nikiitwa hukumuni.
Kurasini SDA Choir.