Ninayaweza Mambo Yote Lyrics sung by Kurasini SDA Choir

Ninayaweza Mambo Yote Lyrics sung by Kurasini SDA Choir

1. Ninayaweza mambo yote,
Kwa jina la Yesu
Nimejifunza kumtumaini siku zote

Refrain
Nayaweza yote kwa jina la Yesu,
Mbele yangu (ni)naona nuru
Anaongoza mapito yangu,
Ni jibu kwa mashaka yangu
Sitapungukiwa chochote,
Anajua shida zangu

2. Furaha amani ninatapata,
Kwa jina hili
Ni mtetezi wangu nikiitwa hukumuni.

Kurasini SDA Choir.

Popular posts from this blog

Tanzania Nakupenda Lyrics Sung by Acacia Singers, Tanzania

Damu Yake Lyrics sung by The Golden Gate Choir

Nyosha Mkono Wako Lyrics sung by Nyandema SDA Choir