Kitu Gani Kitachokutenganisha - Chagua Hivi Leo Lyrics sung by Kurasini SDA Choir
Kitu Gani Kitachokutenganisha - Chagua Hivi Leo Lyrics sung by Kurasini SDA Choir
1. Kitu gani kitachokutenganisha,
Na upendo wa Yesu ukajitenga naye
Tangu umjue Mwokozi wako,
Amekuwa ngao kimbilio
Refrain
Chagua chagua hivi leo ni nani utakayemtumikia
Utasita kati ya njia mbili hatarini (wewe)
Chagua utakayemtumikia
Chagua chagua, chagua chagua,
Chagua chagua, utakayemtumikia
Lakini mimi, mimi na nyumba yangu tutamtumikia Mungu wetu
Lakini mimi, mimi na nyumba yangu tutamtumikia Mungu wetu
2. Ni wakati wa kufanya uamuzi,
Acha kutangatanga kati ya njia mbili
Msimamo wako una mashaka,
Utangatanga hata lini?
Kurasini SDA Choir.