Umeshupalia Kibanzi - Toa Boriti Lyrics sung by Kurasini SDA Choir
Umeshupalia Kibanzi - Toa Boriti Lyrics sung by Kurasini SDA Choir
1. Umeshupalia kibanzi kwenye jicho la nduguyo
Fanya matengenezo msaidie
Sote tumepungukiwa na utukufu wake Mungu
Ebu fanya matengenezo
Refrain
Toa boriti kwenye jicho lako kwanza
Ukamsaidia nduguyo
Sote tu wasafiri Kwenda Kanaani
Sote twarejea kwa Mwokozi
2. Umekuwa hakimu wa kuhukumu dhambi za nduguyo
Fanya matengenezo msaidie
Ndugu yako akikosa njia muonye kwa upole
Ebu fanya matengenezo.
Kurasini SDA Choir.
Shupalia - To affirm with urgency, To Insist.
Definition Source; https://swahili-dictionary.com/swahili-english/shupalia_shupalia