Tuesday, 23 September 2025

Nitachipuka Tena Lyrics sung by Grace and Glory Singers

Nitachipuka Tena Lyrics sung by Grace and Glory Singers


1. Nitachipuka tena na kustawi

kwa kuwa nimekita mizizi kwa Yesu

Matunda yangu mazuri yalete watu kwa Yesu


Refrain

Hata nikianguka nitasimama tena

Na kuanza safari yangu

Kama mti uliokatwa huchipuka tena

Na kutoa matawi mapya

Na mwishowe huzaa matunda mema


2. Wale wamtumainio Mwokozi

Wafananishwa na mlima wa Zayuni

Japo pepo na zivume hawatatikiswa kamwe.


Grace and Glory Singers.

Wewe Ni Baba (Jenga Boma) Lyrics sung by Majaoni AY Kilifi, Kenya

Wewe Ni Baba (Jenga Boma) Lyrics sung by Majaoni AY Kilifi, Kenya 1. Wewe ni Baba wa kinilinda We ndiye shina anipendaye Marafiki wataponia...