Nitachipuka Tena Lyrics sung by Grace and Glory Singers

Nitachipuka Tena Lyrics sung by Grace and Glory Singers


1. Nitachipuka tena na kustawi

kwa kuwa nimekita mizizi kwa Yesu

Matunda yangu mazuri yalete watu kwa Yesu


Refrain

Hata nikianguka nitasimama tena

Na kuanza safari yangu

Kama mti uliokatwa huchipuka tena

Na kutoa matawi mapya

Na mwishowe huzaa matunda mema


2. Wale wamtumainio Mwokozi

Wafananishwa na mlima wa Zayuni

Japo pepo na zivume hawatatikiswa kamwe.


Grace and Glory Singers.

Comments

Popular posts from this blog

Tanzania Nakupenda Lyrics Sung by Acacia Singers, Tanzania

Muumbaji Mfalme Lyrics sung by Kurasini SDA Choir

Bwana wa mabwana Lyrics sung by Cherubim Singers, Nairobi South SDA