Thursday, 30 April 2026

Chukua Tahadhari Lyrics sung by Kurasini SDA Choir

Chukua Tahadhari Lyrics sung by Kurasini SDA Choir


Verse 1

Chukua tahadhari, Rejea kwake Mwokozi wako (Angojea)

Tazama akusihi moyoni mwako mfungulie

Daima mashakani atakulinda usione shida

Tua mzigo wako kwake Yesu, Tua matatizo yako

Toa moyo wako ubadilishwe, Kwa damu utakasike

Uhesabiwe mwana wa Kimfalme


Verse 2

Umetanga mbali na Bwana, Mwana mpotevu rudi

Umesongwa na mawazo moyoni mwako hima urejee


Umetanga mbali na Bwana (Rejea),

Mwana mpotevu rudi (Kwake)

Umesongwa na mawazo moyoni,

Hima urejee kwake Bwana,

Nyumbani kuna pumziko


Verse 3a

Ufalme wa Mungu u tayari, (Ufalme u tayari kwa yule)

Tayari kwa yule, Kwa amtafutaye Mungu

Huko ni furaha na amani (Huko ni furaha na amani)

Shida zetu zote zitakwisha ni mambo mapya

Hima urejee kwake Bwana, Nyumbani kuna pumziko


Repeat as above Noting the variation


Verse 1

Chukua tahadhari, Rejea kwake Mwokozi wako (Angojea)

Tazama akusihi moyoni mwako mfungulie

Daima mashakani atakulinda usione shida

Tua mzigo wako kwake Yesu, Tua matatizo yako

Toa moyo wako ubadilishwe, Kwa damu utakasike

Uhesabiwe mwana wa Kimfalme


Verse 2

Umetanga mbali na Bwana, Mwana mpotevu rudi

Umesongwa na mawazo moyoni mwako hima urejee


Umetanga mbali na Bwana (Rejea),

Mwana mpotevu rudi (Kwake)

Umesongwa na mawazo moyoni,

Hima urejee kwake Bwana,

Nyumbani kuna pumziko


Verse 3b (Check line 2 variation)

Ufalme wa Mungu u tayari, (Ufalme u tayari kwa yule)

Tayari kwa yule, Kwa aliyetubu dhambi

Huko ni furaha na amani (Huko ni furaha na amani)

Shida zetu zote zitakwisha ni mambo mapya

Hima urejee kwake Bwana, Nyumbani kuna pumziko

Hima urejee kwake Bwana, Nyumbani kuna pumziko.


Kurasini SDA Choir.


Kurasini SDA Choir, Kurasini Classics, Kurasini Vol 32, Bedi Score, Bedi Lyrics

Wewe Ni Baba (Jenga Boma) Lyrics sung by Majaoni AY Kilifi, Kenya

Wewe Ni Baba (Jenga Boma) Lyrics sung by Majaoni AY Kilifi, Kenya 1. Wewe ni Baba wa kinilinda We ndiye shina anipendaye Marafiki wataponia...