Je Huyu Ni Nani Lyrics sung by Kurasini SDA Choir
1. Je huyu ni nani aliyelala horini?
Kisha aonekana akiwaponya watu
Viwete watembea vipofu waona
Tulia usikie yupo kaburini
Akifufua wafu, Ni nani?
Je huyu ni nani amechukua msalaba
Watu wakimbia 1-? hasemi lolote
Je huyu ni nani wakamsulubisha
Kisha kakata roho ya 1-? pata saa sita
Wakamzika kaburini
Refrain
Ndiye Yesu tangu mwanzo alikuwepo
Leo yupo na anakuja kama mfalme
Kila jicho litamuona
Katika kiti cha enzi
2. Kwa kauli yake alifufua Lazaro
Lazaro toka nje toka uende zako
Lazaro kafufuka kaanza tembea
Hatua moja mbili watu washangaa
Washindwa kumjua, Ni nani!
Na sasa anarudi kama alivyoahidi
Kuja kuwachukua wateule wake
Kufumba kufumbua kupaa angani
Tulia usikie watu wamngoja
Fanya hima Bwana yu mlangoni.
Kurasini SDA Choir.
For Revision 1-?: -lakini-? hasemi lolote. 2-?: -yapata-? saa sita?
Kurasini SDA Choir, Kurasini Classics, Kurasini Vol 31, For Revision, Bedi Score, Bedi Lyrics