Nyumbani Mwako Lyrics sung by Kurasini SDA Choir
1. Nyumbani mwako (Nyumbani mwako) unamoishi
Umejenga nyumba ya fahari
Ukidhani ni mwisho wa yote
Kuna mji Yesu kaanda hakuna mfano wake
Lango zake ni za dhahabu Jerusalem (Jerusalem)
Refrain
Langu zake ni dhahabu natumani kuwa humo
Katikati ni bustani Jerusalem yapendeza
Kijito chatiririka katikati ya bustani
Yote hayo ni kwa ajili yangu na wewe
2. Ningeliweza (Ningeliweza) kuwa na mbawa
Ningeweza kupaa mbinguni
Nasubiri ahadi ya Bwana
Amekwisha niandalia mbawa za Bwana mfalme
Nitaruka na malaika juu angani (juu angani).
Kurasini SDA Choir.
Kurasini SDA Choir, Kurasini Classics, Kurasini Vol 31, Bedi Score, Bedi Lyrics